iqna

IQNA

sheikh salman
TEHRAN (IQNA)- Chama kikuu cha upinzani cha Bahrain, Al Wefaq, kimelaani kutolewa hukumu ya kifungo cha maisha jela dhidi ya kiongozi wake, Sheikh Ali Salman.
Habari ID: 3472203    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/06

TEHRAN (IQNA)-Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka Bahrain imuachilie huru mara moja mwanazuoni maarufu wa Kiislamu Sheikh Ali Salman.
Habari ID: 3470937    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/17

Shirika moja la kutetea haki za binadamu limelaani vikali hatua ya mahakama ya Bahrain kudhinisha marufuku ya chama kikuu cha upinzani nchini humo, al-Wefaq.
Habari ID: 3470576    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/23

Watu wa Bahrain wamefanya maandamano wakitangaza mfungamano wao na wafungwa wengine wa kisiasa nchini humo.
Habari ID: 3470281    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/01